Posts

Showing posts from October 2, 2016

Athari za Madin ya Flouride Kwa Afya yako!!

Image
Shirika la afya duniani(WHO) lilipendekeza kiwango cha fluoride kwenye maji ya kunywa kiwe 0.5-1 milligram/lita. Kutokana na madhara makubwa yanayotokana na Fluoride, mataifa yaliyoendelea yanafanya mpango wa kuiondoa kabisa katika maji ya kunywa ( soma Dr Dean Burk, mgunduzi wa Biotin, amefanya kaz National Institute of Cancer marekani kwa miaka zaidi ya thelathini) Fluoride iliyo katika dawa za meno imewekwa katika kiwango kikubwa sana ndiyo maana wameandika ukimeza bahati mbaya muone daktari. Pia watoto wasimamiwe wakiwa wanaswaki! UCHAMBUZI WA MADHARA YA FLUORIDE 1.UBONGO Uchunguzi wa kina wa kisayansi unaonesha kuwa kiwango kikubwa cha fluoride kinapunguza IQ( intelligence quotiet) kwa watoto ambao bado ubongo wao haujakomaa. 2. MIFUPA Kiwango kikubwa cha fluoride kinadhoofisha mifupa na kupelekea watu wengi kuvunjika kirahisi haswa kwenye hips na kiwiko. 3. FIGO Wenye matatizo ya figo wanashauriwa kutotumia fluoride kabisa. Ina madhara kwa figo zetu(fluoride

9 Shocking Dangers of Fluoride Exposure With Solution ____Nanofilter

Image
Exposure to fluoride is a contentious topic, mostly because exposure is everywhere. Not only is fluoride a common ingredient in toothpaste, many municipalities have a fluoridated water supply. Why? Well, the reason we’re given is that it encourages oral health… even though it’s not known to prevent harmful oral bacteria. What is known is that fluoride is toxic. In fact, the number one reason for poison control calls concerning fluoride are for children who’ve eaten toothpaste. Long-term ingestion is harmful to the brain, digestive system, heart, bones… even the tooth enamel it’s supposed to help. These next 9 shocking facts will make you take a second look at your exposure to fluoride. 1. WEAKENS SKELETAL HEALTH Skeletal fluorosis is a condition resulting from fluoride consumption. The liver is unable to process fluoride, thus it passes into the bloodstream where it combines with calcium that’s been leeched from the skeletal system. You’re left with weak bones, otherwise known

Watu Hawahitaji Tena Typhoid/Amoeba na Madhara ya Flouride!!!!Wanatumia Nanofilter-Kuchuja Maji Yao Sasa

Image